Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Kifo cha Abiya (1)

      • Asa, mfalme wa Yuda (2-8)

      • Asa awashinda Waethiopia 1,000,000 (9-15)

2 Mambo ya Nyakati 14:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ilipumzika.”

Marejeo

  • +2Sa 5:9

2 Mambo ya Nyakati 14:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Kum 7:5
  • +Kut 23:24
  • +1Fa 14:22, 23; 2Fa 18:1, 4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2009, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 6/15 12

2 Mambo ya Nyakati 14:5

Marejeo

  • +2Nya 34:1, 4

2 Mambo ya Nyakati 14:6

Marejeo

  • +2Nya 11:5
  • +2Nya 15:15; Met 16:7

2 Mambo ya Nyakati 14:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango miwili-miwili.”

Marejeo

  • +2Nya 32:2, 5
  • +Zb 127:1

2 Mambo ya Nyakati 14:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Kwa kawaida ilibebwa na wapiga mishale.

  • *

    Tnn., “kukanyaga upinde.”

Marejeo

  • +2Nya 11:1, 12; 13:3

2 Mambo ya Nyakati 14:9

Marejeo

  • +2Nya 16:8
  • +Yos 15:20, 44; 2Nya 11:5, 8

2 Mambo ya Nyakati 14:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tunakuegemea.”

Marejeo

  • +Kut 14:10; 1Nya 5:20; 2Nya 32:20
  • +Amu 7:7; 1Sa 14:6
  • +2Nya 13:12; 32:7, 8
  • +1Sa 17:45; Zb 20:5; Met 18:10
  • +Yos 7:9; Zb 9:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2012, kur. 8-9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 8/15 8-9

2 Mambo ya Nyakati 14:12

Marejeo

  • +Kum 28:7

2 Mambo ya Nyakati 14:13

Marejeo

  • +Mwa 20:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 14:12Sa 5:9
2 Nya. 14:3Kum 7:5
2 Nya. 14:3Kut 23:24
2 Nya. 14:31Fa 14:22, 23; 2Fa 18:1, 4
2 Nya. 14:52Nya 34:1, 4
2 Nya. 14:62Nya 11:5
2 Nya. 14:62Nya 15:15; Met 16:7
2 Nya. 14:72Nya 32:2, 5
2 Nya. 14:7Zb 127:1
2 Nya. 14:82Nya 11:1, 12; 13:3
2 Nya. 14:92Nya 16:8
2 Nya. 14:9Yos 15:20, 44; 2Nya 11:5, 8
2 Nya. 14:11Kut 14:10; 1Nya 5:20; 2Nya 32:20
2 Nya. 14:11Amu 7:7; 1Sa 14:6
2 Nya. 14:112Nya 13:12; 32:7, 8
2 Nya. 14:111Sa 17:45; Zb 20:5; Met 18:10
2 Nya. 14:11Yos 7:9; Zb 9:19
2 Nya. 14:12Kum 28:7
2 Nya. 14:13Mwa 20:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 14:1-15

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

14 Kisha Abiya akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi;+ na Asa mwanawe akawa mfalme baada yake. Katika siku zake nchi ilikuwa na amani* kwa miaka kumi.

2 Asa alitenda yaliyokuwa mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wake. 3 Aliondoa madhabahu za kigeni+ na mahali pa juu, akazivunjavunja nguzo takatifu,+ na kuikata miti mitakatifu.*+ 4 Zaidi ya hayo, aliwaambia watu wa Yuda wamtafute Yehova Mungu wa mababu zao na kushika Sheria na amri. 5 Kwa hiyo aliondoa mahali pa juu na vinara vya uvumba+ katika majiji yote ya Yuda, na chini ya utawala wake ufalme uliendelea kuwa bila usumbufu. 6 Alijenga majiji yenye ngome huko Yuda,+ kwa kuwa nchi haikuwa na usumbufu na hakuna yeyote aliyepigana vita naye katika miaka hiyo, kwa maana Yehova alimpumzisha.+ 7 Aliwaambia hivi watu wa Yuda: “Na tujenge majiji haya na kuyazingira kwa kuta na minara,+ malango* na makomeo. Kwa maana nchi bado imo mikononi mwetu kwa sababu tumemtafuta Yehova Mungu wetu. Tumemtafuta, naye ametupumzisha pande zote.” Kwa hiyo kazi yao ya ujenzi ilifanikiwa.+

8 Asa alikuwa na jeshi la wanaume 300,000 waliokuwa na ngao kubwa na mikuki. Na kutoka Benjamini kulikuwa na mashujaa hodari 280,000 waliobeba ngao ndogo* na kujihami kwa pinde.*+

9 Baadaye Zera Mwethiopia akaja kupigana nao akiwa na jeshi la wanaume 1,000,000 na magari 300 ya vita.+ Alipofika Maresha,+ 10 Asa akaenda kupigana naye, na Asa na jeshi lake wakajipanga kivita katika Bonde la Sefatha huko Maresha. 11 Kisha Asa akamlilia Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, haijalishi kwako ikiwa wale unaowasaidia ni wengi au hawana nguvu.+ Tusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na umati huu.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu anayeweza kufa akushinde.”+

12 Kwa hiyo Yehova akawashinda Waethiopia mbele ya Asa na mbele ya watu wa Yuda, na Waethiopia wakakimbia.+ 13 Asa na watu waliokuwa pamoja naye wakawafuatia mpaka Gerari,+ nao wakaendelea kuwaua Waethiopia hivi kwamba hakuna hata mmoja wao aliyebaki hai, kwa maana walipondwapondwa na Yehova na jeshi lake. Kisha wakachukua nyara nyingi sana. 14 Zaidi ya hayo, waliyashambulia majiji yote yaliyozunguka Gerari, kwa maana hofu ya Yehova ilikuwa imewashika wakaaji wa majiji hayo; nao wakapora majiji yote, kwa kuwa kulikuwa na vitu vingi vya kuporwa katika majiji hayo. 15 Walishambulia pia mahema ya wale waliokuwa na mifugo, wakateka idadi kubwa ya kondoo na ngamia, kisha wakarudi Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1950-2022)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2022 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki