Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+ Zaburi 116:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Rudi mahali pako pa kupumzika, Ee nafsi yangu,+Kwa maana Yehova mwenyewe amekutendea inavyofaa.+ Isaya 38:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ee Yehova, chukua hatua ya kuniokoa,+ nasi tutapiga nyimbo zangu za kinanda nilizochagua+Siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yehova.’”+ Waroma 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Musa anaandika kwamba mtu ambaye amefanya uadilifu wa Sheria ataishi kwa huo.+
5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+
20 Ee Yehova, chukua hatua ya kuniokoa,+ nasi tutapiga nyimbo zangu za kinanda nilizochagua+Siku zote za maisha yetu katika nyumba ya Yehova.’”+