Zaburi 94:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Fikira zangu zinazofadhaisha zilipokuwa nyingi ndani yangu,+Faraja zako mwenyewe zilianza kuikumbatia nafsi yangu.+ Waroma 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa+ ili kutufundisha+ sisi, ili kupitia uvumilivu+ wetu na kupitia faraja+ kutokana na Maandiko tuwe na tumaini.+
19 Fikira zangu zinazofadhaisha zilipokuwa nyingi ndani yangu,+Faraja zako mwenyewe zilianza kuikumbatia nafsi yangu.+
4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa+ ili kutufundisha+ sisi, ili kupitia uvumilivu+ wetu na kupitia faraja+ kutokana na Maandiko tuwe na tumaini.+