Nehemia 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nawe ukashuka chini kwenye Mlima Sinai+ na kusema nao kutoka mbinguni+ na kuwapa maamuzi ya hukumu+ yaliyo manyoofu na sheria za kweli,+ masharti+ na amri+ nzuri. Zaburi 119:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Nimeyakumbuka maamuzi yako ya hukumu tangu wakati usio na kipimo, Ee Yehova,+Nami najipatia faraja.+ Zaburi 119:160 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 160 Kiini cha neno lako ni kweli,+Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+
13 Nawe ukashuka chini kwenye Mlima Sinai+ na kusema nao kutoka mbinguni+ na kuwapa maamuzi ya hukumu+ yaliyo manyoofu na sheria za kweli,+ masharti+ na amri+ nzuri.
52 Nimeyakumbuka maamuzi yako ya hukumu tangu wakati usio na kipimo, Ee Yehova,+Nami najipatia faraja.+
160 Kiini cha neno lako ni kweli,+Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+