Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 107:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambohayo+Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
43 Ni nani mwenye hekima? Atayashika mambohayo+Na kukaza fikira zake kwa matendo ya Yehova ya fadhili zenye upendo.+