Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 44:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Moyo wetu haujageuka nyuma kwa kukosa imani,+Wala hatua za miguu yetu hazitoki katika njia yako.+ Zaburi 119:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Wenye kimbelembele wamenidharau kupindukia.+Sijageuka kando kutoka kwenye sheria yako.+ 1 Wakorintho 15:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana,+ mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana.
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
58 Kwa hiyo, ndugu zangu wapendwa, iweni imara,+ thabiti, sikuzote mkiwa na mengi ya kufanya katika kazi ya Bwana,+ mkijua kwamba kazi yenu si ya bure+ kuhusiana na Bwana.