13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu.+ Hukuishika amri+ ya Yehova Mungu wako ambayo alikuamuru,+ kwa sababu, kama ungeishika, Yehova angeufanya ufalme wako juu ya Israeli kuwa imara mpaka wakati usio na kipimo.
42 Sasa akamwambia: “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu umemwachilia kutoka mkononi mwako mtu niliyetengewa kwa ajili ya maangamizi,+ lazima nafsi+ yako ichukue mahali pa nafsi yake, na watu wako mahali pa watu wake.’”+