Ayubu 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamenichukia, wamekaa mbali nami;+Nao hawakuacha kunitemea mate usoni.+ Methali 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Maskini ni chukizo hata kwa mwenzake,+ lakini tajiri ana rafiki wengi.+ Yakobo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingawa hivyo, ninyi mmemvunjia heshima mtu maskini. Matajiri huwakandamiza+ ninyi, nao huwakokota ninyi na kuwapeleka mbele ya mahakama,+ sivyo?
6 Ingawa hivyo, ninyi mmemvunjia heshima mtu maskini. Matajiri huwakandamiza+ ninyi, nao huwakokota ninyi na kuwapeleka mbele ya mahakama,+ sivyo?