Methali 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+ Methali 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana mlevi na mlafi watakuwa maskini,+ na kusinzia kutamvika mtu nguo zilizopasuka.+ Methali 27:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nafsi ambayo imeshiba itakanyagia chini asali ya sega, lakini kwa nafsi yenye njaa kila kitu kichungu ni kitamu.+ 2 Wathesalonike 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+
4 Anayefanya kazi kwa mkono mlegevu atakuwa maskini,+ lakini mkono wa mwenye bidii ndio utakaomtajirisha.+
7 Nafsi ambayo imeshiba itakanyagia chini asali ya sega, lakini kwa nafsi yenye njaa kila kitu kichungu ni kitamu.+
10 Kwa kweli, pia, tulipokuwa pamoja nanyi, tulikuwa tukiwapa ninyi agizo hili:+ “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”+