Methali 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yule ambaye amelidharau neno,+ atadaiwa rehani ya mtu mwenye deni; lakini mtu anayeiogopa amri ndiye atakayepewa thawabu.+ Methali 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yeyote anayeepuka nidhamu+ anaikataa nafsi yake mwenyewe, lakini anayesikiliza karipio anajipatia utambuzi wa moyo.+
13 Yule ambaye amelidharau neno,+ atadaiwa rehani ya mtu mwenye deni; lakini mtu anayeiogopa amri ndiye atakayepewa thawabu.+
32 Yeyote anayeepuka nidhamu+ anaikataa nafsi yake mwenyewe, lakini anayesikiliza karipio anajipatia utambuzi wa moyo.+