26 “‘Kwa maana watu waovu wamepatikana kati ya watu wangu.+ Wanaendelea kukaza macho, kama wakati wawindaji wa ndege wanapochutama.+ Wameweka mtego wenye kuharibu. Wao wanawanasa watu.
2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+