Methali 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Shahidi wa uwongo hatakosa adhabu,+ naye anayesema uwongo ataangamia.+ Matendo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?
3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?