4 Na Yosefu akazidi kupata kibali machoni pake naye akamtumikia siku zote hata akamweka juu ya nyumba yake,+ na vitu vyote vilivyokuwa vyake akaviweka mkononi mwake.
28 Sasa Yeroboamu alikuwa mwanamume shujaa, mwenye nguvu.+ Sulemani alipoona kwamba huyo kijana alikuwa mfanyakazi mwenye bidii,+ ndipo akamfanya mwangalizi+ juu ya utumishi wote wa lazima+ wa nyumba ya Yosefu.+