Mhubiri 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mimi, naam, mimi mwenyewe nilisema moyoni mwangu:+ “Tazama! Mimi mwenyewe nimepata hekima nyingi kuliko yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu,+ nao moyo wangu mwenyewe umeona kwa wingi sana hekima na ujuzi.”+
16 Mimi, naam, mimi mwenyewe nilisema moyoni mwangu:+ “Tazama! Mimi mwenyewe nimepata hekima nyingi kuliko yeyote aliyenitangulia katika Yerusalemu,+ nao moyo wangu mwenyewe umeona kwa wingi sana hekima na ujuzi.”+