Waefeso 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Iweni na ghadhabu, lakini msitende dhambi;+ jua lisitue mkiwa katika hali ya kuchokozeka,+ Wakolosai 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini sasa, kwa kweli, yaondoleeni mbali mambo haya yote kutoka kwenu,+ ghadhabu, hasira, ubaya, matukano,+ na maneno machafu+ kutoka kinywani mwenu. Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+ Yakobo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mmemhukumia hatia, mmemuua mwadilifu. Je, yeye hawapingi ninyi?+
8 Lakini sasa, kwa kweli, yaondoleeni mbali mambo haya yote kutoka kwenu,+ ghadhabu, hasira, ubaya, matukano,+ na maneno machafu+ kutoka kinywani mwenu.
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+