Mambo ya Walawi 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye. Marko 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+ Luka 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jiangalieni ninyi wenyewe. Ndugu yako akitenda dhambi mkemee,+ na akitubu msamehe.+
17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.
25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+