Marko 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya kutazama huku na huku Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wale wenye pesa+ kuingia katika ufalme wa Mungu!”+ Luka 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yesu akamtazama na kusema: “Jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wale walio na pesa kuingia katika ufalme wa Mungu!+ 1 Timotheo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana kupenda+ pesa ni chanzo+ cha mambo mabaya ya namna zote,+ na kwa kujitahidi kufikia upendo huo wengine wamepotoshwa kutoka kwenye imani nao wamejichoma wenyewe kila mahali kwa maumivu mengi.+
23 Baada ya kutazama huku na huku Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wale wenye pesa+ kuingia katika ufalme wa Mungu!”+
24 Yesu akamtazama na kusema: “Jinsi itakavyokuwa vigumu kwa wale walio na pesa kuingia katika ufalme wa Mungu!+
10 Kwa maana kupenda+ pesa ni chanzo+ cha mambo mabaya ya namna zote,+ na kwa kujitahidi kufikia upendo huo wengine wamepotoshwa kutoka kwenye imani nao wamejichoma wenyewe kila mahali kwa maumivu mengi.+