1 Wathesalonike 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mtakaswe,+ kwamba mjiepushe na uasherati;+ Ufunuo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+
11 “Unastahili, Ee Yehova, naam, Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi+ yako vilikuwako navyo vikaumbwa.”+