Marko 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Mambo yote mnayosali na kuomba juu yake iweni na imani kwamba ni kana kwamba tayari mmeyapokea, nanyi mtayapata.+ 1 Wakorintho 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+
24 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Mambo yote mnayosali na kuomba juu yake iweni na imani kwamba ni kana kwamba tayari mmeyapokea, nanyi mtayapata.+
9 Lakini kama ilivyoandikwa: “Jicho halijaona na sikio halijasikia, wala hayajawaziwa katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu amewatayarishia wale wanaompenda.”+