1 Wakorintho 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+
28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko,+ kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu,+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za maponyo;+ utumishi wenye msaada,+ uwezo wa kuelekeza,+ lugha tofauti.+