Kutoka 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nawe utamfukiza kondoo huyo mzima juu ya madhabahu. Hilo ni toleo la kuteketezwa+ kwa Yehova, harufu yenye kutuliza.+ Ni toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto. 2 Wakorintho 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana kwa Mungu sisi ni harufu tamu+ ya Kristo katikati ya wale wanaookolewa na katikati ya wale wanaoangamia;+
18 Nawe utamfukiza kondoo huyo mzima juu ya madhabahu. Hilo ni toleo la kuteketezwa+ kwa Yehova, harufu yenye kutuliza.+ Ni toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
15 Kwa maana kwa Mungu sisi ni harufu tamu+ ya Kristo katikati ya wale wanaookolewa na katikati ya wale wanaoangamia;+