Methali 28:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Anayemkaripia mtu+ atapata kibali zaidi baadaye kuliko yeye anayebembeleza kwa ulimi wake. 1 Timotheo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+ Tito 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga. Tito 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ushahidi huu ni kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali,+ ili wawe na afya+ katika imani, Ufunuo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+
20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+
9 akilishika imara neno la uaminifu kuhusiana na ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kuhimiza kwa fundisho lenye afya+ na pia kuwakaripia+ wale ambao hulipinga.
13 Ushahidi huu ni kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali,+ ili wawe na afya+ katika imani,
19 “ ‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Kwa hiyo uwe mwenye bidii na utubu.+