Isaya 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+ Mathayo 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wao huniabudu bure, kwa sababu wao hufundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’ ”+
13 Na Yehova anasema: “Kwa sababu watu hawa wamekaribia na vinywa vyao, nao wamenitukuza kwa midomo yao mitupu,+ nao wameupeleka moyo wao mbali nami,+ na woga wao kwangu ni amri ya wanadamu inayofundishwa,+