28 Alipofika upande ule mwingine, na kuingia katika nchi ya Wagadarene,+ alikutana na wanaume wawili walioingiwa na roho waovu+ wakitoka kati ya makaburi, wakali isivyo kawaida, hivi kwamba hakuna mtu aliyekuwa na moyo wa kupita katika barabara hiyo.