Zaburi 115:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mbingu ni mbingu za Yehova,+Bali dunia amewapa wana wa binadamu.+ Waroma 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+ 1 Wakorintho 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatieni upendo, na bado endeleeni kutafuta kwa bidii zawadi za kiroho,+ lakini ni afadhali zaidi kwamba mtoe unabii.+
23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+
14 Fuatieni upendo, na bado endeleeni kutafuta kwa bidii zawadi za kiroho,+ lakini ni afadhali zaidi kwamba mtoe unabii.+