Mambo ya Walawi 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+ Isaya 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova wa majeshi—Yeye ndiye mnayepaswa kumwona kuwa mtakatifu,+Yeye ndiye mnayepaswa kumwogopa,Na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+
32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+
13 Yehova wa majeshi—Yeye ndiye mnayepaswa kumwona kuwa mtakatifu,+Yeye ndiye mnayepaswa kumwogopa,Na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+