Zaburi 98:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo yanayostaajabisha.+ Mkono wake wa kuume, mkono wake mtakatifu, umeleta wokovu.*+ Zaburi 139:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia inayoogopesha na kustaajabisha.+ Kazi zako zinastaajabisha,+Ninajua* vizuri sana jambo hilo. Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
98 Mwimbieni Yehova wimbo mpya,+Kwa maana ametenda mambo yanayostaajabisha.+ Mkono wake wa kuume, mkono wake mtakatifu, umeleta wokovu.*+
14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia inayoogopesha na kustaajabisha.+ Kazi zako zinastaajabisha,+Ninajua* vizuri sana jambo hilo.
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+