-
Yoshua 4:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Yoshua akawaambia: “Nendeni katikati ya Yordani mbele ya sanduku la Yehova Mungu wenu, na kila mmoja wenu abebe jiwe begani, kulingana na idadi ya makabila ya Waisraeli, 6 ili yawe ishara kwenu. Ikiwa watoto* wenu watawauliza wakati ujao, ‘Mawe haya ni ya nini?’+ 7 waambieni: ‘Sanduku la agano la Yehova lilipovushwa Yordani, maji ya Yordani yalizuiwa yasitiririke.+ Basi mawe haya yatakuwa kumbukumbu la kudumu kwa Waisraeli.’”+
-