6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+
11 Tazama! Tunawaona wale ambao wamevumilia kuwa wenye furaha.*+ Mmesikia kuhusu uvumilivu wa Ayubu+ na mmeona matokeo ambayo Yehova* alileta,+ kwamba Yehova* ni mwenye upendo mwororo sana* na mwenye rehema.+