-
Yakobo 1:23-25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 Kwa maana ikiwa yeyote ni msikiaji wa neno, na si mtendaji,+ huyo ni kama mtu anayeutazama uso wake* katika kioo. 24 Kwa maana yeye hujitazama na kwenda zake na kusahau mara moja jinsi alivyo. 25 Lakini anayechunguza sheria kamilifu+ ambayo ni ya uhuru na kudumu katika hiyo, amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi; naye atafurahia kile anachofanya.+
-