Isaya 48:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako,Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*+Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+ Yohana 6:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Imeandikwa katika Manabii: ‘Wote watafundishwa na Yehova.’*+ Kila mtu ambaye amemsikiliza Baba na kujifunza huja kwangu. Yakobo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima, na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu,*+ naye atapewa.+
17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako,Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*+Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+
45 Imeandikwa katika Manabii: ‘Wote watafundishwa na Yehova.’*+ Kila mtu ambaye amemsikiliza Baba na kujifunza huja kwangu.
5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima, na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu,*+ naye atapewa.+