16 Ikiwa mtazisikiliza amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru leo, kwa kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake, na kushika amri zake na maagizo yake na sheria zake, basi mtaishi+ na kuongezeka, na Yehova Mungu wenu atawabariki katika nchi mnayoenda kuimiliki.+