Zaburi 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mungu wangu, ninakutumaini wewe;+Usiruhusu niaibishwe.+ Usiruhusu maadui wangu wanicheke.+ Waroma 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kuwa andiko linasema: “Yeyote anayemwamini hatakata tamaa.”+