Methali 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mtu mmoja hutoa kwa ukarimu* na kupata vitu vingi zaidi;+Mtu mwingine huwanyima wengine wanachostahili, lakini anakuwa maskini.+ Mathayo 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wenye furaha ni wale wenye rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema. Waebrania 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuhudumu na kuendelea kuwahudumia watakatifu.
24 Mtu mmoja hutoa kwa ukarimu* na kupata vitu vingi zaidi;+Mtu mwingine huwanyima wengine wanachostahili, lakini anakuwa maskini.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuhudumu na kuendelea kuwahudumia watakatifu.