Mathayo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi;*+ badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena.*+ Luka 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini nitawaonyesha yule mnayepaswa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua ana mamlaka ya kutupa ndani ya Gehena.*+ Ndiyo, ninawaambia, mwogopeni Huyo.+ 1 Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu anayemchukia ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji aliye na uzima wa milele ndani yake.+
28 Na msiwaogope wale wanaoua mwili lakini hawawezi kuua nafsi;*+ badala yake, mwogopeni yule anayeweza kuangamiza nafsi na mwili katika Gehena.*+
5 Lakini nitawaonyesha yule mnayepaswa kumwogopa: Mwogopeni yule ambaye baada ya kuua ana mamlaka ya kutupa ndani ya Gehena.*+ Ndiyo, ninawaambia, mwogopeni Huyo.+
15 Kila mtu anayemchukia ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji aliye na uzima wa milele ndani yake.+