8 “Ninawaambia, kila mtu anayenikiri mbele ya watu,+ Mwana wa binadamu pia atamkiri mbele ya malaika wa Mungu.+9 Lakini yeyote anayenikana mbele ya watu atakanwa mbele ya malaika wa Mungu.+
5 Kwa hiyo, yule atakayeshinda+ atavikwa mavazi meupe,+ na kwa vyovyote sitalifuta* jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu na mbele ya malaika zake.+