Mathayo 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana maskini mnao sikuzote,+ lakini mimi hamtakuwa nami sikuzote.+ Marko 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana maskini mnao sikuzote,+ na mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaotaka, lakini mimi hamtakuwa nami sikuzote.+
7 Kwa maana maskini mnao sikuzote,+ na mnaweza kuwasaidia wakati wowote mnaotaka, lakini mimi hamtakuwa nami sikuzote.+