5 Enyi watumwa, watiini mabwana wenu wanadamu,+ kwa kuogopa na kutetemeka kwa unyoofu wa mioyo yenu, kama vile kwa Kristo, 6 si wakati tu mnapotazamwa, ili tu kuwapendeza wanadamu,+ bali kama watumwa wa Kristo mkifanya mapenzi ya Mungu kwa nafsi yote.+