Luka 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Akajibu: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nafsi* yako yote kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote’+ na ‘umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”+ Waroma 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Iweni wenye bidii,* msiwe wavivu.*+ Wakeni roho.+ Mtumikieni Yehova.*+
27 Akajibu: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nafsi* yako yote kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote’+ na ‘umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”+