Isaya 53:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa. Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.* Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+ Yohana 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, wakasema kwa sauti kubwa: “Mwondoe! Mwondoe! Atundikwe mtini!”* Pilato akawaambia: “Je, mnataka nimuue mfalme wenu?” Wakuu wa makuhani wakajibu: “Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.”
3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa. Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.* Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+
15 Hata hivyo, wakasema kwa sauti kubwa: “Mwondoe! Mwondoe! Atundikwe mtini!”* Pilato akawaambia: “Je, mnataka nimuue mfalme wenu?” Wakuu wa makuhani wakajibu: “Sisi hatuna mfalme ila Kaisari.”