Mathayo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Wenye furaha ni wale ambao wameteswa kwa ajili ya uadilifu,+ kwa kuwa Ufalme wa mbinguni ni wao. Matendo 5:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Basi wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamestahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake. 1 Petro 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ikiwa mnashutumiwa* kwa ajili ya jina la Kristo, ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.
41 Basi wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamestahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.
14 Ikiwa mnashutumiwa* kwa ajili ya jina la Kristo, ninyi ni wenye furaha,+ kwa sababu roho ya utukufu, yaani roho ya Mungu, inatulia juu yenu.