Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Leo
Juni
Kuyachunguza Maandiko Kila Siku—2022

Jumatano, Juni 29

Jiepushe na maneno matupu yanayochafua mambo matakatifu.​—1 Tim. 6:20.

Baadhi ya Wakristo walioishi kipindi kimoja na Timotheo hawakuthamini pendeleo lao la kuwa wafanyakazi wenzi pamoja na Mungu. Walitia ndani Dema, Figelo, Hermogene, Himenayo, Aleksanda, na Fileto. (1 Tim. 1:19, 20; 2 Tim. 1:15; 2:16-18; 4:10) Mwanzoni, watu hao wote walikuwa imara kiroho, lakini waliacha kuyaona mambo waliyokabidhiwa kuwa yenye thamani. Shetani anajaribu jinsi gani kutufanya tuache kuthamini hazina ambazo Yehova ametukabidhi? Fikiria baadhi ya mbinu za Shetani. Anatumia burudani na vyombo vya habari kuendeleza viwango, njia ya kufikiri, na tabia ambazo anaamini kwamba zinaweza kutufanya tulegeze msimamo wetu inapohusu kweli za Biblia. Anajaribu kututisha kupitia watu wanaotushinikiza au kututesa ili tuache kuhubiri. Anajaribu kutushawishi tusikilize “‘ujuzi’ wa uwongo” wa waasi-imani ili tuiache kweli. Tusipokuwa waangalifu, hatua kwa hatua tunaweza kuiacha kweli.​—1 Tim. 6:21. w20.09 27 ¶6-8

Juni 27–Julai 3
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha—2022 | Mei

Juni 27–Julai 3

2 SAMWELI 15-17

  • Wimbo 123 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Absalomu Aliasi kwa Sababu ya Kiburi”: (Dak. 10)

  • Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Sa 16:4​—Tunajifunza nini kutokana na uamuzi ambao Daudi alifanya haraka-haraka? (w18.08 6 ¶11)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Sa 17:17-29 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida. (th somo la 7)

  • Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia? (lakini usionyeshe video). (th somo la 2)

  • Hotuba: (Dak. 5) w09 5/15 27-28​—Kichwa: Iga Bidii ya Itai Katika Huduma Yako.​—2Sa 15:19-22. (th somo la 13)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 106

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)

  • “Upendo . . . Haujivuni”: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video Kumbuka Jinsi Upendo Ulivyo​—Haujivuni.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 10

  • Umalizio (Dak. 3)

  • Wimbo 87 na Sala

Yaliyomo
Mnara wa Mlinzi (Funzo)—2022 | Aprili

Makala ya 18: Juni 27, 2022—Julai 3, 2022

22 Jinsi ya Kujiwekea na Kufikia Malengo ya Kiroho

Habari za Ziada

Makala nyingine katika gazeti hili

Maktaba Kwenye Mtandao (1950-2022)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2022 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki