-
Mathayo 5:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 “Nyinyi mlisikia kwamba ilisemwa kwa wale wa nyakati za kale, ‘Lazima usiue kimakusudi; lakini yeyote yule afanyaye uuaji-kimakusudi atapaswa kutoa hesabu kwa mahakama ya kuamulia haki.’
-