-
Wakolosai 3:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 Acheni neno la Kristo likae katika nyinyi kwa utajiri katika hekima yote. Fulizeni kufundisha na kuonyana kwa upole kwa zaburi, sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho kwa upendezi, kuimba katika mioyo yenu kwa Yehova.
-