-
1 Petro 2:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
19 Kwa maana ikiwa mtu fulani, kwa sababu ya dhamiri kuelekea Mungu, astahimili chini ya mambo yenye kuleta kihoro na ateseka isivyo haki, hili ni jambo lenye kukubalika.
-