-
“Yehova Mmoja” Anaikusanya Familia YakeMnara wa Mlinzi—2012 | Julai 15
-
-
7. Inamaanisha nini “kuushika umoja wa roho”?
7 Ingawa Yehova amewatangaza watiwa-mafuta kuwa waadilifu wakiwa wana na kondoo wengine kuwa waadilifu wakiwa marafiki kwa msingi wa dhabihu ya fidia ya Kristo, kutoelewana kutatokea kati yetu maadamu tunaishi katika mfumo huu wa mambo. (Rom. 5:9; Yak. 2:23) Kama sivyo hatungehitaji shauri lililoongozwa na roho ya Mungu linalotuhimiza tuendelee ‘kuvumiliana.’ Lakini, tunawezaje kuwa na umoja na waamini wenzetu? Tunahitaji kusitawisha “unyenyekevu kamili wa akili na upole.”
-
-
“Yehova Mmoja” Anaikusanya Familia YakeMnara wa Mlinzi—2012 | Julai 15
-
-
Zaidi ya hayo, Paulo anatuhimiza tujitahidi sana “kuushika umoja wa roho katika kifungo chenye kuunganisha cha amani.” (Soma Waefeso 4:1-3.)
-