-
2 Mambo ya Nyakati 24:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kila mara wakati Walawi walileta lile sanduku ili walipatie mufalme na wakati waliona kwamba kulikuwa feza nyingi ndani, mwandishi wa mufalme na mwakilishi wa mukubwa wa makuhani walikuwa wanakuja na kutosha feza hizo katika sanduku,+ na kisha walikuwa wanalirudisha kwenye lilikuwa. Ni vile walifanya siku kwa siku, na walikusanya feza kwa wingi.
-