-
Mambo ya Walawi 5:15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 “Kama mutu anajiendesha kwa njia ya kukosa uaminifu kwa kutenda zambi bila kukusudia kwa kuvunja sheria kuhusu vitu vitakatifu vya Yehova,+ atamuletea Yehova kondoo-dume mwenye hana kasoro kutoka katika kundi ili akuwe toleo la hatia;+ samani yake itapimwa kwa shekeli* za feza kulingana na shekeli ya kawaida ya mahali patakatifu.*+
-