Isaya 1:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 1 Maono yenye Isaya*+ mwana wa Amozi aliona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yotamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+ Isaya 6:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Katika mwaka wenye Mufalme Uzia alikufa,+ nilimuona Yehova akiwa amekaa kwenye kiti cha ufalme chenye kuwa juu na chenye kuinuliwa,+ na pindo za kanzu lake zilijaza hekalu.
1 Maono yenye Isaya*+ mwana wa Amozi aliona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yotamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+
6 Katika mwaka wenye Mufalme Uzia alikufa,+ nilimuona Yehova akiwa amekaa kwenye kiti cha ufalme chenye kuwa juu na chenye kuinuliwa,+ na pindo za kanzu lake zilijaza hekalu.