Kutoka 30:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 “Haruni+ atachoma uvumba wenye marashi+ juu ya mazabahu hiyo,+ na kuufanya utoe moshi juu ya mazabahu wakati anashugulikia zile taa+ kila asubui. 1 Mambo ya Nyakati 23:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni aliwekwa pembeni wakati wote+ ili atakase Patakatifu Zaidi, yeye na wana wake, ili watoe zabihu mbele ya Yehova, wamutolee utumishi, na kutangaza baraka katika jina lake sikuzote.+
7 “Haruni+ atachoma uvumba wenye marashi+ juu ya mazabahu hiyo,+ na kuufanya utoe moshi juu ya mazabahu wakati anashugulikia zile taa+ kila asubui.
13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni aliwekwa pembeni wakati wote+ ili atakase Patakatifu Zaidi, yeye na wana wake, ili watoe zabihu mbele ya Yehova, wamutolee utumishi, na kutangaza baraka katika jina lake sikuzote.+